Waziri Mkuu, Kassin Majaliwa leo Septemba 22, 2021 ametembelea kiwanda cha kusafisha Madini ya Dhahabu cha Geita Gold Refinery cha Mjini Geita, ambapo amemuahidi Afisa Mtendaji Mkuu wa kiwanda hicho Bi. Sarah Masasi kuwa Serikali itaendelea kumuunga mkono katika kuhakikisha kiwanda hicho kinatekeleza majukumu yake kwa faida ya wadau wa Sekta ya madini na Taifa
Waziri Mkuu, Kassin Majaliwa leo Septemba 22, 2021 ametembelea kiwanda cha kusafisha Madini ya Dhahabu cha Geita Gold Refinery cha Mjini Geita, ambapo amemuahidi Afisa Mtendaji Mkuu wa kiwanda hicho Bi. Sarah Masasi kuwa Serikali itaendelea kumuunga mkono katika kuhakikisha kiwanda hicho kinatekeleza majukumu yake kwa faida ya wadau wa Sekta ya madini na Taifa kwa ujumla.
Leave a Comment
Your email address will not be published. Required fields are marked with *