Korosho yote itasafirishwa kupitia bandari ya mtwara.Waziri Mkenda.

Korosho yote itasafirishwa kupitia bandari ya mtwara.Waziri Mkenda.

WAZIRI wa Kilimo, Prof Adolf Mkenda amesema Bandari ya Mtwara imejiandaa vizuri kwa ajili ya kusafirisha zao la korosho na uamuzi huo hautabadilika kwa kuwa ni maekezo ya Rais Samia Suluhu Hassan. “Haya ni maelekezo ya serikali kwamba korosho yote huku itapitia bandari hii maagizo hayo ni ya Rais hayatabadilika kwa hiyo wote ambao wanataka

WAZIRI wa Kilimo, Prof Adolf Mkenda amesema Bandari ya Mtwara imejiandaa vizuri kwa ajili ya kusafirisha zao la korosho na uamuzi huo hautabadilika kwa kuwa ni maekezo ya Rais Samia Suluhu Hassan.


“Haya ni maelekezo ya serikali kwamba korosho yote huku itapitia bandari hii maagizo hayo ni ya Rais hayatabadilika kwa hiyo wote ambao wanataka kufanya biashara ya Korosho wajipange“Zaidi ya hapo hapa bandarini wanafanya kazi saa 24  kwa hiyo meli ikija kama ni kupakia inapakia kwa muda na kasi sana kwa sababu ya uwezo huo wa kufanya kazi muda wote,” amesema.

Jfive Team
ADMINISTRATOR
PROFILE

Posts Carousel

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked with *

Latest Posts

Top Authors

Most Commented

Featured Videos

Translate »