Bao la Feisal Salum dakika ya 24 Yanga / Kagera Sugar.

Bao la Feisal Salum dakika ya 24 Yanga / Kagera Sugar.

Timu ya Yanga imefanikiwa kuishushia kichapo timu wenyeji Kagera Sugar katika uwanja wa Kaitaba, bao lililofungwa na Faither Salum dakika ya 24 ya mchezo.Mchezo huo wa kwanza wa ligi kuu msimu huu kwa timu hizo umechezwa katika uwanja wa Kaitaba Mjini Bukoba mkoani Kagera.

Timu ya Yanga imefanikiwa kuishushia kichapo timu wenyeji Kagera Sugar katika uwanja wa Kaitaba, bao lililofungwa na Faither Salum dakika ya 24 ya mchezo.
Mchezo huo wa kwanza wa ligi kuu msimu huu kwa timu hizo umechezwa katika uwanja wa Kaitaba Mjini Bukoba mkoani Kagera.

Jfive Team
ADMINISTRATOR
PROFILE

Posts Carousel

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked with *

Latest Posts

Top Authors

Most Commented

Featured Videos

Translate »