Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akipata maelezo kuhusu uandaaji wa nyama mara baada ya kuzindua kiwanda cha Nyama cha Eliya Food Overseas LTD kilichopo Eurendeke, Longido mkoani Arusha leo tarehe 18 Oktoba 2021. Akiwa mkoani humo Rais Samia Suluhu Hassan amezindua mradi wa maji safi wa Longido katika eneo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akipata maelezo kuhusu uandaaji wa nyama mara baada ya kuzindua kiwanda cha Nyama cha Eliya Food Overseas LTD kilichopo Eurendeke, Longido mkoani Arusha leo tarehe 18 Oktoba 2021.
Akiwa mkoani humo Rais Samia Suluhu Hassan amezindua mradi wa maji safi wa Longido katika eneo la Stendi mpya, Longido mkoani Arusha.
Leave a Comment
Your email address will not be published. Required fields are marked with *