MADALALI WALIPE KODI

MADALALI WALIPE KODI

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makaazi William Lukuvi amesema sifa ya Dalali sio tu kujua kusoma na kuandika bali lazima wawe na Ofisi na walipe kodi ya Serikali. “Dalali akikuomba kodi ya mwezi mmoja mwambie akupe risiti ya EFD kama anayo, na sifa za Madalali sio tu kujua kusoma na kuandika hapana, lazima

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makaazi William Lukuvi amesema sifa ya Dalali sio tu kujua kusoma na kuandika bali lazima wawe na Ofisi na walipe kodi ya Serikali.

“Dalali akikuomba kodi ya mwezi mmoja mwambie akupe risiti ya EFD kama anayo, na sifa za Madalali sio tu kujua kusoma na kuandika hapana, lazima wawe na ofisi na walipe kodi kwa sababu wanafanya transaction za Mamilioni, Dalali anauza hadi nyumba ya Bilioni moja halafu halipi kodi” Amesema Waziri Lukuvi

Itakumbukwa juzi Waziri Lukuvi akiwa Iringa leo aliwapiga pia marufuku Madalali wa nyumba wanaochukua kodi ya mwezi mmoja kwa Wapangaji na kuwataka waache mara moja na badala yake pesa hizo walipwe na wenye nyumba.

Jfive Team
ADMINISTRATOR
PROFILE

Posts Carousel

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked with *

Latest Posts

Top Authors

Most Commented

Featured Videos

Translate »