Habari katika Picha zikimuonyesha Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Massoud Othman akikabidhiwa fomu ya Kugombea Umakamu Mwenyekiti Mwanachama wa chama hicho na Mjumbe wa Kamati ya Uchaguzi ya Chama cha ACT Wazalendo Muhene Said Rashid katika Afisi Kuu ya chama hicho Vuga Zanzibar. Baada ya Kuchukua Fomu Makamu wa kwanza wa Rais
Habari katika Picha zikimuonyesha Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Massoud Othman akikabidhiwa fomu ya Kugombea Umakamu Mwenyekiti Mwanachama wa chama hicho na Mjumbe wa Kamati ya Uchaguzi ya Chama cha ACT Wazalendo Muhene Said Rashid katika Afisi Kuu ya chama hicho Vuga Zanzibar.
Baada ya Kuchukua Fomu Makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar alipata nafasi ya Kuongea na Waandishi wa Habari
Leave a Comment
Your email address will not be published. Required fields are marked with *