Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) Jumamosi, Januari 15, 2022 limetangaza matokeo ya mtihani wa taifa wa kidato cha nne uliofanyika Novemba 2021. Matokeo hayo yametangazwa na Katibu Mtendaji wa Necta, Dk. Charles Msonde ambapo pia, baraza hilo limetangaza matokeo ya mitihani ya upimaji wa kitaifa ya darasa la nne na kidato cha pili 2021.
Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) Jumamosi, Januari 15, 2022 limetangaza matokeo ya mtihani wa taifa wa kidato cha nne uliofanyika Novemba 2021.
Matokeo hayo yametangazwa na Katibu Mtendaji wa Necta, Dk. Charles Msonde ambapo pia, baraza hilo limetangaza matokeo ya mitihani ya upimaji wa kitaifa ya darasa la nne na kidato cha pili 2021.
Shule 10 bora kwenye matokeo ya form 4 yaliyotangazwa leo January 15 2022.
1. Kemebos – Mkoa wa Kagera
2. St. Francis – Mbeya
3. Waja Boys – Geita
4. Bright Future Girls
5. Bethel Sabs Girls – Iringa
6. Maua Seminary – Kilimanjaro
7. Feza Boys – Dsm
8. Precious Blood – Arusha
9. Feza Girls – Dsm
10. Mzumbe Secondary – Morogoro.
Bonyeza kila kiungio hapa chini kuona matokeo husika;
MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (CSEE) 2021
MATOKEO YA MTIHANI WA MAARIFA (QT) 2021
MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI (FTNA) 2021
Leave a Comment
Your email address will not be published. Required fields are marked with *