Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) Jumamosi, Januari 15, 2022 limetangaza matokeo ya mtihani wa taifa wa kidato cha nne uliofanyika Novemba 2021. Matokeo hayo yametangazwa na Katibu Mtendaji wa Necta, Dk. Charles Msonde ambapo pia, baraza hilo limetangaza matokeo ya mitihani ya upimaji wa kitaifa ya darasa la nne na kidato cha pili 2021.
Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) Jumamosi, Januari 15, 2022 limetangaza matokeo ya mtihani wa taifa wa kidato cha nne uliofanyika Novemba 2021.
Matokeo hayo yametangazwa na Katibu Mtendaji wa Necta, Dk. Charles Msonde ambapo pia, baraza hilo limetangaza matokeo ya mitihani ya upimaji wa kitaifa ya darasa la nne na kidato cha pili 2021.
Akitangaza matokeo hayo, Dkt. Msonde amesema watahiniwa wa Shule 422,388 (87.30%) kati ya Watahiniwa 483,820 wamefaulu Mitihani yao ongezeko la ufaulu ni 1.46% ikilinganishwa na mwaka 2020.
Shule 10 bora kwenye upimaji wa form two kupitia matokeo yaliyotangazwa leo January 15 2022.
1. St Francis Girls – Mkoa wa Mbeya
2. Kemebos – Kagera
3. Graiyaki – Mara
4. Canossa – Dar es salaam
5. Tengeru Boys – Arusha
6. St. Monica Moshono Girls – Arusha
7. St. Augustine Tagaste – Dar es salaam
8. Centennial Christian – Peani
9. Bethel sabs Girls – Iringa
10. Bright Future Girls – Dar es salaam.
Bonyeza kila kiungio hapa chini kuona matokeo husika;
MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (CSEE) 2021
MATOKEO YA MTIHANI WA MAARIFA (QT) 2021
MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI (FTNA) 2021
Leave a Comment
Your email address will not be published. Required fields are marked with *