Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango leo tarehe 21 Machi 2022 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi anayekwenda kuiwakilisha Tanzania nchini Austria Balozi Celestine Mushy, mazungumzo yaliofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Balozi Celestine
Leave a Comment
Your email address will not be published. Required fields are marked with *