Makamu wa Rais Dkt.Mpango amezungumza na Balozi Celestine Mushy anayeiwakilisha Tanzania Austria.

Makamu wa Rais Dkt.Mpango amezungumza na Balozi Celestine Mushy anayeiwakilisha Tanzania  Austria.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango leo tarehe 21 Machi 2022 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi anayekwenda kuiwakilisha Tanzania nchini Austria Balozi Celestine Mushy, mazungumzo yaliofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Balozi Celestine

May be an image of 2 people, people standing and suit
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango leo tarehe 21 Machi 2022 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi anayekwenda kuiwakilisha Tanzania nchini Austria Balozi Celestine Mushy, mazungumzo yaliofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma.
May be an image of 1 person, sitting and indoor
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Balozi Celestine Mushy, anayekwenda kuiwakilisha Tanzania nchini Austria, wakati wa mazungumzo yao Ikulu Chamwino mkoani Dodoma leo tarehe 21 Machi 2022.
May be an image of 2 people, people standing and suit
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa katika picha ya pamoja na Balozi Celestine Mushy, anayekwenda kuiwakilisha Tanzania nchini Austria mazungumzo yaliofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma leo tarehe 21 Machi 2022.
Jfive Team
ADMINISTRATOR
PROFILE

Posts Carousel

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked with *

Latest Posts

Top Authors

Most Commented

Featured Videos

Translate »