BASATA YAMPIGA ‘STOP’ STEVE NYERERE

BASATA YAMPIGA ‘STOP’ STEVE NYERERE

BARAZA la Sanaa Taifa (BASATA) limeingilia kati Mgogoro wa ndani la Shirikisho la Muziki na kusimamisha uteuzi wa awali wa Msemaji wa Shirikisho hilo Steven Mengere . Aidha Baraza limetoa uamuzi huo mara baada ya kufanya kikao Machi 23 na kuridhia kuwa Msemaji huyo kutoanza Majukumu yake Hadi pale sakata hilo litakapotatuliwa. Pia Baraza limejiridhisha

BARAZA la Sanaa Taifa (BASATA) limeingilia kati Mgogoro wa ndani la Shirikisho la Muziki na kusimamisha uteuzi wa awali wa Msemaji wa Shirikisho hilo Steven Mengere .

Aidha Baraza limetoa uamuzi huo mara baada ya kufanya kikao Machi 23 na kuridhia kuwa Msemaji huyo kutoanza Majukumu yake Hadi pale sakata hilo litakapotatuliwa.

Pia Baraza limejiridhisha kuwa Bodi ya utendaji ya Shirikisho lilifanya kikao chake mapema Machi 1 katika ukumbi wa Bodi ya Filamu na kufanya uteuzi huo.

Baraza limetoa taarifa ya kushughulikia Mgogoro huo na kupokea hoja za wajumbe pamoja na viongozi wa Shirikisho hilo na na kuahidi kutoa uamuzi mapema iwezekanavyo.

Jfive Team
ADMINISTRATOR
PROFILE

Posts Carousel

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked with *

Translate »