Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akibonyeza kitufe kuzindua Mfumo wa Usafirishaji wa Dharura kwa Wajawazito na Watoto Wachanga (M-MAMA) katika hafla iliyofanyika Viwanja vya Chinangali Park Jijini Dodoma leo tarehe 06 Aprili, 2022. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akibonyeza kitufe kuzindua Mfumo wa
Leave a Comment
Your email address will not be published. Required fields are marked with *