Rais Samia akiangalia Bunge la Bajeti akiwa Muscat nchini Oman.

Rais Samia akiangalia Bunge la Bajeti akiwa Muscat nchini Oman.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiangalia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba alipokuwa akiwasilisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka 2022/2023, Bungeni, Dodoma tarehe 14 Juni, 2022. Rais Samia amefuatilia hotuba hiyo ya Bunge wakati akiwa Muscat nchini Oman.

May be an image of 6 people, people sitting and indoor
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiangalia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba alipokuwa akiwasilisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka 2022/2023, Bungeni, Dodoma tarehe 14 Juni, 2022. Rais Samia amefuatilia hotuba hiyo ya Bunge wakati akiwa Muscat nchini Oman.
Jfive Team
ADMINISTRATOR
PROFILE

Posts Carousel

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked with *

Latest Posts

Top Authors

Most Commented

Featured Videos

Translate »