Na Barnabas Kisengi, Dodoma Waziri wa Mifungo na Uvuvi Mh. Mashimba Ndaki Amesisitiza viongozi wa bodi ya kampuni ya ranch za Taifa NARCO kuongeza ubora wa mifungo, pamoja na utendaji kazi wa kampuni kutoa elimu kwa wafugaji wadogo, kufyeka vichaka vya malisho ya mifungo na kupanda majani yatakayosaidia mifungo kupata malisho Bora. Amesema hayo kwenye
Na Barnabas Kisengi, Dodoma
Waziri wa Mifungo na Uvuvi Mh. Mashimba Ndaki Amesisitiza viongozi wa bodi ya kampuni ya ranch za Taifa NARCO kuongeza ubora wa mifungo, pamoja na utendaji kazi wa kampuni kutoa elimu kwa wafugaji wadogo, kufyeka vichaka vya malisho ya mifungo na kupanda majani yatakayosaidia mifungo kupata malisho Bora.
Amesema hayo kwenye uzinduzi wa bodi ya kampuni ya ranch za Taifa NARCO jijini Dodoma.
Waziri NDAKI amesema lengo la serikali ni kufanya mageuzi makubwa kwenye sekta ya mifungo.
Serikali ya Awamu wa sita imetoa budget ya bilioni 268 za mifungo na uvuvi.ili kuleta maendeleo maendeleo kwenye sekta ya mifungo na uvuvi.
Kwa upande wake mwenyekiti wa bodo ya kampuni ya ranch za Taifa, Cyprin John Luhemeja. amemuhakikishia waziri wa mifungo na uvuvi kumpa matokeo ya mabadiliko ya kampuni hiyo baada ya siku 100 ya utendaji wa kazi.
Leave a Comment
Your email address will not be published. Required fields are marked with *