UJUMBE WA SAKHO BAADA YA KUSHINDA ‘GOLI BORA LA MWAKA’ CAF

UJUMBE WA SAKHO BAADA YA KUSHINDA ‘GOLI BORA LA MWAKA’ CAF

Mshambuliaji wa klabu ya Simba Msenegal Pape Ousmane Sakho ameshinda tuzo ya goli bora la mwaka 2022 la Afrika katika tuzo ya CAF. Mara baada ya kutwaa Tuzo hiyo, Sakho ameonesha furaha aliyonayo moyoni “Asanteni Watanzania, asanteni mashabiki wa Simba, asanteni wachezaji wote, nimefurahi sana.”- Pape Sakho baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa Tuzo ya

Mshambuliaji wa klabu ya Simba Msenegal Pape Ousmane Sakho ameshinda tuzo ya goli bora la mwaka 2022 la Afrika katika tuzo ya CAF.

Mara baada ya kutwaa Tuzo hiyo, Sakho ameonesha furaha aliyonayo moyoni “Asanteni Watanzania, asanteni mashabiki wa Simba, asanteni wachezaji wote, nimefurahi sana.”- Pape Sakho baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa Tuzo ya Goli Bora la CAF 2022.

Goli Bora la Mwaka 2022, Mashindano ya CAF Simba vs ASEC Mimosas (Benjamin Mkapa Stadium)

@cafclcc @caf_online

cafawards2022

JfiveSports

Jfive Team
ADMINISTRATOR
PROFILE

Posts Carousel

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked with *

Latest Posts

Top Authors

Most Commented

Featured Videos

Translate »