VYOMBO VYA HABARI VYA KENYA KUTORUSHA UAPISHO WA RUTO

VYOMBO VYA HABARI VYA KENYA KUTORUSHA UAPISHO WA RUTO

Timu ya Mawasialiano ya Rais Mteule imezuia vyombo vya habari vya nchini humo kurusha hafla ya kuapishwa kwa William Ruto na kutoa haki za kipekee za utangazaji kwa Multichoice Kenya Ltd. Tangazo hilo limepokelewa kwa hisia tofauti na wanahabari wa ndani na mashirika ya habari, huku gazeti la Daily Nation likimshutumu Ruto kwa kupoteza fursa

Timu ya Mawasialiano ya Rais Mteule imezuia vyombo vya habari vya nchini humo kurusha hafla ya kuapishwa kwa William Ruto na kutoa haki za kipekee za utangazaji kwa Multichoice Kenya Ltd.

Tangazo hilo limepokelewa kwa hisia tofauti na wanahabari wa ndani na mashirika ya habari, huku gazeti la Daily Nation likimshutumu Ruto kwa kupoteza fursa ya kuonesha utawala bora.

Timu ya Mawasiliano ya Rais Mteule imeshutumu vyombo vya habari vya nchini humo kwa kuegemea upande wa Raila na Rais Uhuru na kususia mikutano ya Muungano wa Kenya Kwanza wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu.

Jfive Team
ADMINISTRATOR
PROFILE

Posts Carousel

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked with *

Latest Posts

Top Authors

Most Commented

Featured Videos

Translate »