CCM YAFANYA MABADILIKO WAJUMBE SEKRETARIETI YA TAIFA

CCM YAFANYA MABADILIKO WAJUMBE SEKRETARIETI YA TAIFA

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM na RAIS wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt SAMIA SULUH HASSAN ameongoza kikao cha kamati kuu CCM Taifa January 14 2023 Jijini Dar es salaam ambapo katika kikao hicho kimefanya mabadiliko ya nafasi mbalimbali za Wajumbe wa Sekretarieti ya CCM Taifa. Katika mabadiliko ya nafasi hizo za juu

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM na RAIS wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt SAMIA SULUH HASSAN ameongoza kikao cha kamati kuu CCM Taifa January 14 2023 Jijini Dar es salaam ambapo katika kikao hicho kimefanya mabadiliko ya nafasi mbalimbali za Wajumbe wa Sekretarieti ya CCM Taifa.


Katika mabadiliko ya nafasi hizo za juu za uongozi wa Chama cha Mapinduzi CCM Taifa amewateuwa wafuatao kushika nafasi hizo Katika Chama cha Mapinduzi CCM Taifa ni kama ifuatavyo  walio teuliwa ni


Daniel Chongolo – Katibu Mkuu


Anamringi Macha – Naibu Katibu Mkuu Bara

Said Mohamed Dimwa-Naibu Katibu Mkuu Zanzibar

Ndugu Sophia Mjema-Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa Itikadi na Uenezi


Dkt. Frank Haule-Katibu wa Uchumi na Fedha


Mbarouk Nassor Mbarouk-Mkuu wa Idara ya Kimataifa 


Issa Haji Gavu-Idara ya Organaizeisheni

Jfive Team
ADMINISTRATOR
PROFILE

Posts Carousel

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked with *

Latest Posts

Top Authors

Most Commented

Featured Videos

Translate »