Rais Dkt. Samia ameshiriki mkutano wa masuala ya Nishati nchini Uswizi.

Rais Dkt. Samia ameshiriki mkutano wa masuala ya Nishati nchini Uswizi.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza katika mkutano wa masuala ya Nishati (Powering the World) uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Congress Davos nchini Uswizi tarehe 19 Januari, 2023. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi mbalimbali wakati akizungumza

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza katika mkutano wa masuala ya Nishati (Powering the World) uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Congress Davos nchini Uswizi tarehe 19 Januari, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi mbalimbali wakati akizungumza katika mkutano wa masuala ya Nishati (Powering the World) uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Congress Davos nchini Uswizi tarehe 19 Januari, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza katika mkutano wa kuitangaza Tanzania katika Sekta ya Uwekezaji kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Congress, Davos nchini Uswizi tarehe 19 Januari, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiagana na Rais wa Uswizi, Mhe. Alain Berset mara baada ya mazungumzo katika Ukumbi wa Mikutano wa Congress, Davos nchini Uswizi tarehe 19 Januari, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali pamoja na wawekezaji wakati wakitazama video ya kuitangaza Tanzania katika sekta mbalimbali za uwekezaji kwenye mkutano uliofanyika Davos nchini Uswizi tarehe 19 Januari, 2023.
Jfive Team
ADMINISTRATOR
PROFILE

Posts Carousel

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked with *

Latest Posts

Top Authors

Most Commented

Featured Videos

Translate »