Rais Dkt.Mwinyi amekutana na madaktari kutoka Marekani na Ubelgiji .

Rais Dkt.Mwinyi amekutana na madaktari kutoka Marekani na Ubelgiji .

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Dkt.Hussein Ali Mwinyi amekutana na madaktari kutoka Marekani na Ubelgiji walioongozwa na Dkt. Bruno Jvan Herendaev waliofika ikulu kwa ajili ya kuisaidia Zanzibar katika sekta ya afya kuweka kitengo cha madaktari bingwa bila upasuaji katika hospitali mpya ya mkoa mjini magharibi Lumumba . Rais wa

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Dkt.Hussein Ali Mwinyi amekutana na madaktari kutoka Marekani na Ubelgiji walioongozwa na Dkt. Bruno Jvan Herendaev waliofika ikulu kwa ajili ya kuisaidia Zanzibar katika sekta ya afya kuweka kitengo cha madaktari bingwa bila upasuaji katika hospitali mpya ya mkoa mjini magharibi Lumumba .
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Dkt.Hussein Ali Mwinyi amekutana na madaktari kutoka Marekani na Ubelgiji walioongozwa na Dkt. Bruno Jvan Herendaev waliofika ikulu kwa ajili ya kuisaidia Zanzibar katika sekta ya afya kuweka kitengo cha madaktari bingwa bila upasuaji katika hospitali mpya ya mkoa mjini magharibi Lumumba .
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Dkt.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na madaktari kutoka Marekani na Ubelgiji walioongozwa na Dkt. Bruno Jvan Herendaev waliofika ikulu kwa ajili ya kuisaidia Zanzibar katika sekta ya afya kuweka kitengo cha madaktari bingwa bila upasuaji katika hospitali mpya ya mkoa mjini magharibi Lumumba .
No photo description available.
Jfive Team
ADMINISTRATOR
PROFILE

Posts Carousel

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked with *

Latest Posts

Top Authors

Most Commented

Featured Videos

Translate »