Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Dkt.Hussein Ali Mwinyi amekutana na madaktari kutoka Marekani na Ubelgiji walioongozwa na Dkt. Bruno Jvan Herendaev waliofika ikulu kwa ajili ya kuisaidia Zanzibar katika sekta ya afya kuweka kitengo cha madaktari bingwa bila upasuaji katika hospitali mpya ya mkoa mjini magharibi Lumumba .




Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Dkt.Hussein Ali Mwinyi amekutana na madaktari kutoka Marekani na Ubelgiji walioongozwa na Dkt. Bruno Jvan Herendaev waliofika ikulu kwa ajili ya kuisaidia Zanzibar katika sekta ya afya kuweka kitengo cha madaktari bingwa bila upasuaji katika hospitali mpya ya mkoa mjini magharibi Lumumba .
Leave a Comment
Your email address will not be published. Required fields are marked with *