Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson amefanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Ndg. Mary Chatanda alipomtembelea leo tarehe 3 Februari, 2023 ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson amefanya mazungumzo na Mwenyekiti wa
Leave a Comment
Your email address will not be published. Required fields are marked with *