Timu ya madaktari bingwa imewasili Zanzibar kuongeza nguvu katika sekta ya Afya.

Timu ya madaktari bingwa imewasili Zanzibar kuongeza nguvu katika sekta ya Afya.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema ujio wa madaktari bingwa kutoka China ni fursa adhimu kuimarisha sekta ya Afya Zanzibar. Dk. Mwinyi amesema timu ya madaktari bingwa kutoka China imewasili Zanzibar kuongeza nguvu katika sekta ya Afya kwa kutoa wataalamu mbalimbali wakiwemo Madaktari bingwa wa operesheni bila

May be an image of 2 people, people standing and text that says 'IS W R J'
May be an image of 1 person
May be an image of 11 people and people standing
May be an image of 1 person
May be an image of 4 people, people sitting, people standing, suit and indoor
May be an image of 1 person
May be an image of 6 people, people sitting, people standing and suit

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema ujio wa madaktari bingwa kutoka China ni fursa adhimu kuimarisha sekta ya Afya Zanzibar.

Dk. Mwinyi amesema timu ya madaktari bingwa kutoka China imewasili Zanzibar kuongeza nguvu katika sekta ya Afya kwa kutoa wataalamu mbalimbali wakiwemo Madaktari bingwa wa operesheni bila kupasua, magonjwa ya kina mama, magonjwa ya meno, magonjwa ya koo, macho na masikio pamoja na kutoa vifaa vya kisasa.

Madaktari hao watafanya kazi za kitabibu katika hospitali za Mikoa ya Unguja na Pemba ikiwemo Hospitali ya Mnazi Mmoja, Abdalla Mzee, Chake Chake na Kivunge.

Rais Dk. Mwinyi ameyasema hayo alipotembelewa Ikulu Zanzibar na Madaktari wapya kutoka China Ujumbe huo wa Madaktari umeongozwa na Balozi mdogo wa China, Zanzibar Mhe. Zhang Zhisheng

Jfive Team
ADMINISTRATOR
PROFILE

Posts Carousel

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked with *

Latest Posts

Top Authors

Most Commented

Featured Videos

Translate »