Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi akipokea zawadi ya picha kutoka kwa Bi. Kate Somvongsiri Mkurugenzi Mkaazi wa Shirika la Misaada la Watu wa Marekani (USAID) katika uzinduzi wa mradi wa Kijana Nahodha wenye thamani ya dola za Kimarekani Milioni 10.6 ambao umedhaminiwa shirika hilo.
Leave a Comment
Your email address will not be published. Required fields are marked with *