NANI ALAUMIWE SIMBA?

NANI ALAUMIWE SIMBA?

Licha ya kusaliwa na michezo kadhaa ya Ligi Kuu Bara, Simba inaelekea kuumaliza Msimu wa 2022/23 bila taji baada ya kufungwa na Azam FC goli 2-1 katika Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam kwenye Uwanja wa Nangwanda, #Mtwara AzamFC imepata magoli yake kupitia kwa #LusajoMwaikenda na #PrinceDube wakati #Simba ikipata goli kupitia kwa

Licha ya kusaliwa na michezo kadhaa ya Ligi Kuu Bara, Simba inaelekea kuumaliza Msimu wa 2022/23 bila taji baada ya kufungwa na Azam FC goli 2-1 katika Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam kwenye Uwanja wa Nangwanda, #Mtwara

AzamFC imepata magoli yake kupitia kwa #LusajoMwaikenda na #PrinceDube wakati #Simba ikipata goli kupitia kwa #SadioKanoute

Ushindi huo unaipeleka Azam FC katika Fainali ambapo inasubiri mshindi wa mchezo wa #Yanga na #SingidaBigStars

Jfive Team
ADMINISTRATOR
PROFILE

Posts Carousel

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked with *

Translate »