Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango akikata utepe kuashiria uzinduzi wa barabara ya Wasso – Sale yenye urefu wa kilometa 49 wakati akiwa katika ziara wilayani Ngorongoro, mkoa wa Arusha leo tarehe 17 Mei 2023. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango
Leave a Comment
Your email address will not be published. Required fields are marked with *