TIGO WATUA BUNGENI, PATA MKOPO WA SIMU KWA TSH. 1000

TIGO WATUA BUNGENI, PATA MKOPO WA SIMU KWA TSH. 1000

Na Mwandishi Wetu. Kampuni namba moja nchini kwa utoaji wa Huduma za Kidigitali Tigo ipo katika viwanja vya bunge,ikiwa na banda mahususi litoalo huduma na bidhaa zao mbalimbali kwa wabunge , wafanyakazi na wateja mbalimbali ambapo kubwa zaidi ni uwepo wa simu janja ambayo kila mtanzania anaweza kujipatia simu kwa mkopo wa malipo ya Tsh 1000/siku

Mkuu wa Kitengo cha Udhibiti na Mahusiano na Serikali kutoka Tigo Bi . Sylvia Balwire akitambulishwa bungeni baada ya maswali na majibu katika Mkutano wa 12, Kikao cha 29 leo Ijumaa Mei 19, 2023, ambapo bajeti ya Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imewasilishwa

Na Mwandishi Wetu.

Kampuni namba moja nchini kwa utoaji wa Huduma za Kidigitali Tigo ipo katika viwanja vya bunge,ikiwa na banda mahususi litoalo huduma na bidhaa zao mbalimbali kwa wabunge , wafanyakazi na wateja mbalimbali ambapo kubwa zaidi ni uwepo wa simu janja ambayo kila mtanzania anaweza kujipatia simu kwa mkopo wa malipo ya Tsh 1000/siku ili aweze kuishi maisha ya kidigitali sambamba na kuendelea kufikisha huduma za mawasiliano maeneo ya vijijini kwa ushirikiano kati yao na Mfuko wa Mawasiliano kwa wote (UCSAF)

Jfive Team
ADMINISTRATOR
PROFILE

Posts Carousel

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked with *

Latest Posts

Top Authors

Most Commented

Featured Videos

Translate »