Mke wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation (ZMBF) ametoa wito kwa Watanzania kujisajili kwa wingi katika msimu wa 4 wa mbio za CRDB Bank Marathon Mwaka 2023 ili kufanikisha malengo ya kusaidia sekta ya afya nchini. Mgeni Rasmi katika mbio atakuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
Mke wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation (ZMBF) ametoa wito kwa Watanzania kujisajili kwa wingi katika msimu wa 4 wa mbio za CRDB Bank Marathon Mwaka 2023 ili kufanikisha malengo ya kusaidia sekta ya afya nchini.
Mgeni Rasmi katika mbio atakuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi na zitafanyika Agosti 13 mwaka huu katika Viwanja vya The Green Oysterbay Dar es Salaam.
Sehemu ya fedha zitakazopatikana katika mbio hizo zitasaidia ujenzi wa kituo cha afya cha Mama na Mtoto Zanzibar .
Leave a Comment
Your email address will not be published. Required fields are marked with *