Rais Mwinyi amempongeza Mhashamu Baba Askofu Protase Rugambwa kuwa Kardinali.

Rais Mwinyi amempongeza Mhashamu Baba Askofu Protase Rugambwa kuwa Kardinali.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amempongeza Mhashamu Baba Askofu Mkuu Mwandamizi Protase Rugambwa kwa kuteuliwa na Baba Mtakatifu Fransisko kuwa Kardinali wa Tatu wa Tanzania . Ameungana na Watanzania na kumtakia heri kwa majukumu yake mapya katika Kanisa Katoliki nchini

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amempongeza Mhashamu Baba Askofu Mkuu Mwandamizi Protase Rugambwa kwa kuteuliwa na Baba Mtakatifu Fransisko kuwa Kardinali wa Tatu wa Tanzania .

Ameungana na Watanzania na kumtakia heri kwa majukumu yake mapya katika Kanisa Katoliki nchini

Jfive Team
ADMINISTRATOR
PROFILE

Posts Carousel

Latest Posts

Top Authors

Most Commented

Featured Videos

Translate »