Rais Mwinyi ameshiriki kumsalia Marehemu Bi Maryam Mwinyi Khatib.

Rais Mwinyi ameshiriki kumsalia Marehemu Bi Maryam Mwinyi Khatib.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi ameshiriki kumsalia Marehemu Bi Maryam Mwinyi Khatib katika Masjid Taqwa Mwanakwerekwe, aliyefariki dunia mapema leo asubuhi. Marehemu Bi Maryam ni Mama yake Mwakilishi wa Jimbo la Kwahani Mhe.Yahya Rashid. Bi Maryam amezikwa leo Muungoni Wilaya ya Kusini, Mkoa wa Kusini Unguja.

Inaweza kuwa picha ya Watu 10, skavu ya kichwani na jukwaa
Inaweza kuwa picha ya Watu 9, jukwaa na maandishi
Inaweza kuwa picha ya Watu 5, jukwaa na maandishi
Inaweza kuwa picha ya Watu 6 na jukwaa
Inaweza kuwa picha ya Watu 9, jukwaa na maandishi
Inaweza kuwa picha ya Watu 5, jukwaa na maandishi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi ameshiriki kumsalia Marehemu Bi Maryam Mwinyi Khatib katika Masjid Taqwa Mwanakwerekwe, aliyefariki dunia mapema leo asubuhi.

Marehemu Bi Maryam ni Mama yake Mwakilishi wa Jimbo la Kwahani Mhe.Yahya Rashid.

Bi Maryam amezikwa leo Muungoni Wilaya ya Kusini, Mkoa wa Kusini Unguja.

Jfive Team
ADMINISTRATOR
PROFILE

Posts Carousel

Latest Posts

Top Authors

Most Commented

Featured Videos

Translate »