Tunashukuru Mungu Tumerudi salama Tanzania.

Tunashukuru Mungu Tumerudi salama Tanzania.

Shukrani kwa Ubalozi wa Tanzania, Kigali Rwanda. Tumepata mapokezi mazuri, ushiriki mkubwa katika maandalizi ya tukio la Hisani, maandalizi ya tukio la ukabidhi wa jezi kwa Rais Kagame, maandalizi ya kutembelea kumbukumbu za mauaji ya halaiki na leo chakula cha mchana hapa ubalozini kwetu. Tunatoa Shukrani za dhati kwa Ubalozi na Serikali yetu. Shukrani kwa

Inaweza kuwa picha ya mtu mmoja au zaidi na maandishi
Inaweza kuwa picha ya Watu 11 na maandishi yanayosema 'UBALOZI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KIGALI NG SportPoso SportPeso'

Shukrani kwa Ubalozi wa Tanzania, Kigali Rwanda. Tumepata mapokezi mazuri, ushiriki mkubwa katika maandalizi ya tukio la Hisani, maandalizi ya tukio la ukabidhi wa jezi kwa Rais Kagame, maandalizi ya kutembelea kumbukumbu za mauaji ya halaiki na leo chakula cha mchana hapa ubalozini kwetu. Tunatoa Shukrani za dhati kwa Ubalozi na Serikali yetu.

Inaweza kuwa picha ya Watu 10 na maandishi
Inaweza kuwa picha ya Watu 15, helikopta na maandishi

Shukrani kwa Ubalozi wa Tanzania, Kigali Rwanda. Tumepata mapokezi mazuri, ushiriki mkubwa katika maandalizi ya tukio la Hisani, maandalizi ya tukio la ukabidhi wa jezi kwa Rais Kagame, maandalizi ya kutembelea kumbukumbu za mauaji ya halaiki na leo chakula cha mchana hapa ubalozini kwetu. Tunatoa Shukrani za dhati kwa Ubalozi na Serikali yetu.

Inaweza kuwa picha ya Watu 5 na maandishi

Msafara wa Klabu yetu kueleka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa mjini Kigali ulianzia kwenye kituo cha kumbukumbu cha Kigali Genocide Memorial ambapo tulipata wasaa wa kuomboleza na kuwakumbuka wote walioathirika na Mauaji wa Kimbari yaliyotokea mwaka 1994.

Inaweza kuwa picha ya Watu 3 na maandishi

Msafara wa Klabu yetu kueleka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa mjini Kigali ulianzia kwenye kituo cha kumbukumbu cha Kigali Genocide Memorial ambapo tulipata wasaa wa kuomboleza na kuwakumbuka wote walioathirika na Mauaji wa Kimbari yaliyotokea mwaka 1994.

Inaweza kuwa picha ya Watu 3 na maandishi

Msafara wa Klabu yetu kueleka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa mjini Kigali ulianzia kwenye kituo cha kumbukumbu cha Kigali Genocide Memorial ambapo tulipata wasaa wa kuomboleza na kuwakumbuka wote walioathirika na Mauaji wa Kimbari yaliyotokea mwaka 1994.

Inaweza kuwa picha ya Watu 3 na maandishi

Msafara wa Klabu yetu kueleka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa mjini Kigali ulianzia kwenye kituo cha kumbukumbu cha Kigali Genocide Memorial ambapo tulipata wasaa wa kuomboleza na kuwakumbuka wote walioathirika na Mauaji wa Kimbari yaliyotokea mwaka 1994.

Inaweza kuwa picha ya Mtu 1 na maandishi yanayosema 'GSM SporPesa'
Inaweza kuwa picha ya Mtu 1 na anacheza soka
Inaweza kuwa picha ya Mtu 1, anacheza kandanda, anacheza soka na maandishi yanayosema 'WH SportPesa'
Inaweza kuwa picha ya Mtu 1, anacheza kandanda, anacheza soka na maandishi yanayosema 'MG SSM SportPesa'
Inaweza kuwa picha ya Mtu 1 na sanduku la nguo

“Tunashukuru Mungu kwa kurejea salama Tanzania na leo Wachezaji watarudi kambini kuanza maandalizi ya kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Namungo, Jumatano ya tarehe 20.09.2023”

Shukrani kwa Rais wetu Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan, Wizara ya Sanaa, Utamaduni na Michezo pamoja na Shirika la Ndege Tanzania, Air Tanzania ✈️✈️

Tumeiwakilisha vyema nchi yetu na tunaahidi kufanya vizuri zaidi kwenye mchezo wetu wa marudiano.

Ally Kamwe

Jfive Team
ADMINISTRATOR
PROFILE

Posts Carousel

Latest Posts

Top Authors

Most Commented

Featured Videos

Translate »