Muonekano wa Kituo Kikuu cha Mabasi yaendayo Mikoani na Nchi Jirani cha Magufuli Bus Terminal Mbezi Luis Dar es Salaam.

Muonekano wa Kituo Kikuu cha Mabasi yaendayo Mikoani na Nchi Jirani cha Magufuli Bus Terminal Mbezi Luis Dar es Salaam.

Muonekano wa Kituo Kikuu cha Mabasi yaendayo Mikoani na Nchi Jirani cha Magufuli (Magufuli Bus Terminal) kilichopo Mbezi Luis Jijini Dar es Salaam ambacho kimefunguliwa rasmi jana tarehe 24 Februari 2021 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli. Kituo hiki kitakuwa na uwezo wa kuhudumia Mabasi 3,456 kwa siku,

May be an image of outdoors
May be an image of outdoors
May be an image of outdoors
May be an image of outdoors
May be an image of outdoors

Muonekano wa Kituo Kikuu cha Mabasi yaendayo Mikoani na Nchi Jirani cha Magufuli (Magufuli Bus Terminal) kilichopo Mbezi Luis Jijini Dar es Salaam ambacho kimefunguliwa rasmi jana tarehe 24 Februari 2021 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli.

Kituo hiki kitakuwa na uwezo wa kuhudumia Mabasi 3,456 kwa siku, abiria 224,000 kwa siku, uwezo wa kuegesha magari madogo zaidi ya 280, Mabasi 1000 wakati wa usiku, Ofisi za Mabenki,huduma za simu, Hoteli, Ofisi za Uhamiaji, Maduka pamoja na Ofisi mbalimbali.

Jfive Team
ADMINISTRATOR
PROFILE

Posts Carousel

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked with *

Latest Posts

Top Authors

Most Commented

Featured Videos

Translate »