Aina Saba za Dawa za Serikali zimekamatwa katika duka la dawa Wilayani Chemba.

Aina Saba za Dawa za Serikali zimekamatwa katika duka la dawa Wilayani Chemba.

Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba Kanda ya Kati imefanya ukaguzi katika maduka ya dawa na vifaa tiba katika kijiji cha Mpendoo kilichopo katika ya Halmashauri ya Wilaya ya Chemba. Ukaguzi huo ulifanikisha kukamata dawa za Serikali aina saba (7) zenye thamani ya Tsh. 265,000/= katika duka la dawa muhimu liitwalo ROGECHU. Mtuhumiwa amekamatwa na

Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba Kanda ya Kati imefanya ukaguzi katika maduka ya dawa na vifaa tiba katika kijiji cha Mpendoo kilichopo katika ya Halmashauri ya Wilaya ya Chemba.

Ukaguzi huo ulifanikisha kukamata dawa za Serikali aina saba (7) zenye thamani ya Tsh. 265,000/= katika duka la dawa muhimu liitwalo ROGECHU.

Mtuhumiwa amekamatwa na kufikishwa Kituo cha Polisi Chemba ambapo anashikiliwa na Jeshi la Polisi.

Taratibu nyingine za kumfikisha mtuhumiwa mahakamani zinaendelea.

NA KIJOLI CHIKOPA.

Jfive Team
ADMINISTRATOR
PROFILE

Posts Carousel

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked with *

Latest Posts

Top Authors

Most Commented

Featured Videos

Translate »