MUONEKANO WA BARABARA YA SHEKILANGO.

MUONEKANO WA BARABARA YA SHEKILANGO.

Awamu ya Tano ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli imewezesha ujenzi wa Barabara ya Shekilango yenye urefu wa km 3.7 iliyojengwa kwa njia 4, ikiwa na Upana wa mita 22, njia za watembea kwa miguu, taa za kisasa, mitaro ya maji na Bustani ili kupunguza msongamano wa magari kuanzia maungio ya Barabara ya Morogoro na

Awamu ya Tano ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli imewezesha ujenzi wa Barabara ya Shekilango yenye urefu wa km 3.7 iliyojengwa kwa njia 4, ikiwa na Upana wa mita 22, njia za watembea kwa miguu, taa za kisasa, mitaro ya maji na Bustani ili kupunguza msongamano wa magari kuanzia maungio ya Barabara ya Morogoro na kupitia mitaa ya Sinza mpaka maungio ya Barabara ya Ali Hassan Mwinyi Dar es Salaam ikiwa inapendeza mara baada ya ujenzi wake, kukamilika.

Jfive Team
ADMINISTRATOR
PROFILE

Posts Carousel

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked with *

Translate »