Klabu ya Soka ya Simba ya Tanzania imefuzu kwenda hatua ya robo fainali baada ya kuirarua AS Vita bao 4-1 katika Uwanja wa kumbukumbu ya Benjamin Mkapa, Dar es Salaam Simba inakusanya jumla ya alama 13 mpaka sasa na itaongoza kundi A bila kujali matokeo ya Mechi za mwisho
Klabu ya Soka ya Simba ya Tanzania imefuzu kwenda hatua ya robo fainali baada ya kuirarua AS Vita bao 4-1 katika Uwanja wa kumbukumbu ya Benjamin Mkapa, Dar es Salaam
Simba inakusanya jumla ya alama 13 mpaka sasa na itaongoza kundi A bila kujali matokeo ya Mechi za mwisho
Leave a Comment
Your email address will not be published. Required fields are marked with *