TFRA KUWEKEZA KATIKA UJENZI WA VIWANDA VYA MBOLEA NCHINI

TFRA KUWEKEZA KATIKA UJENZI WA VIWANDA VYA MBOLEA NCHINI

NA MWANDISHI WETU-DODOMA. Mkurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) Dtk Stephane Ngailo  amesema kuwa wataendelea kuhimiza na kuhamasisha wawekezaji kushirikiana na serikali ikiwemo kituo cha uwekezaji ,kuwekeza katika ujenzi wa viwanda vya mbolea  hapa nchini . Dkt Ngailo Ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na kituo hiki wakati akielezea mipango ya Taasisi hiyo

NA MWANDISHI WETU-DODOMA.

Mkurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) Dtk Stephane Ngailo  amesema kuwa wataendelea kuhimiza na kuhamasisha wawekezaji kushirikiana na serikali ikiwemo kituo cha uwekezaji ,kuwekeza katika ujenzi wa viwanda vya mbolea  hapa nchini .

Mkurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) Dtk Stephane Ngailo

Dkt Ngailo Ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na kituo hiki wakati akielezea mipango ya Taasisi hiyo katika kipindi cha miaka mitano ijayo.

Sauti ya Mkurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) Dtk Stephane Ngailo

Akizungumzia namna TFRA itakavyowafikia wakulima wadogo na kuhakikisha kuwa wanapata mbolea iliyobora na kwa wakati,amesema jukumu lao ni kusajili mbolea hizo pamoja na wauzaji.

Sauti ya Mkurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) Dtk Stephane Ngailo

Dkt Ngailo ameelezea pia namna ambavyo TFRA inavyopata mahitaji ya mbolea kutoka kwa wakulima amesema.

Sauti ya Mkurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) Dtk Stephane Ngailo

Mamalaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) imeanzishwa kwa sheria ya  Mblolea No.9 ya mwaka ya mwaka 2009  huku ikitekelezwa kwa kanuni zilizotungwa mwaka 2011na kuanza kufanya kazi mwezi Agosti,2012 ikiwa chini ya Wizara ya Kilimo.

Jfive Team
ADMINISTRATOR
PROFILE

Posts Carousel

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked with *

Translate »