Ikiwa leo ni Arobaini (40) ya kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hayati Dkt. John Joseph Pombe Magufuli, Mwadhama Kadinali Polycarp Pengo amemtembelea Mjane wa Dkt. Magufuli, Mama Janet Magufuli Nyumbani kwake ambapo pia amempa zawadi ya sanamu ndogo ya Bikira Maria.
Ikiwa leo ni Arobaini (40) ya kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hayati Dkt. John Joseph Pombe Magufuli, Mwadhama Kadinali Polycarp Pengo amemtembelea Mjane wa Dkt. Magufuli, Mama Janet Magufuli Nyumbani kwake ambapo pia amempa zawadi ya sanamu ndogo ya Bikira Maria.
Leave a Comment
Your email address will not be published. Required fields are marked with *