Kadinali Pengo amtembelea Mama Janet Magufuli

Kadinali Pengo amtembelea Mama Janet Magufuli

Ikiwa leo ni Arobaini (40) ya kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hayati Dkt. John Joseph Pombe Magufuli, Mwadhama Kadinali Polycarp Pengo amemtembelea Mjane wa Dkt. Magufuli, Mama Janet Magufuli Nyumbani kwake ambapo pia amempa zawadi ya sanamu ndogo ya Bikira Maria.

Ikiwa leo ni Arobaini (40) ya kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hayati Dkt. John Joseph Pombe Magufuli, Mwadhama Kadinali Polycarp Pengo amemtembelea Mjane wa Dkt. Magufuli, Mama Janet Magufuli Nyumbani kwake ambapo pia amempa zawadi ya sanamu ndogo ya Bikira Maria.

Mjane wa Hayati John Magufuli mama Janeth Magufuli akibusu sanamu ya Bikira Maria aliyopewa na Muadhama Polycarp Kardinali Pengo leo April 27.
Jfive Team
ADMINISTRATOR
PROFILE

Posts Carousel

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked with *

Latest Posts

Top Authors

Most Commented

Featured Videos

Translate »