
Na Mwandishi Wetu Ruvuma Timu ya Usimamizi shirikishi kutoka Idara ya Afya kutoka Ofisi ya RAIS TAMISEMI imetoa wito kwa timu za uendeshaji wa huduma za afya Mkoa wa Ruvuma kuhahakisha inaimarisha na kusimamia utoaji wa huduma bora za afya katika vituo vya kutolea huduma. Wito huo umetolewa Januari, 31, 2023 na Mkurugenzi wa huduma
READ MORE
Na Mwandishi Wetu Dodoma Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulika masuala ya Sera Bunge na Uratibu Dkt. John Jingu, amewataka watumishi wa Ofisi hiyo kufanya kazi kwa ushirikiano ili kuwa na utendaji wenye matokeo. Dkt. Jingu amesema hayo wakati wa mkutano wa watumishi wa ofisi yake uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya
READ MORE
READ MORE