• MATUKIO YA WAZIRI MKUU BUNGENI.

    MATUKIO YA WAZIRI MKUU BUNGENI.0

    Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Naibu Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia,  Omary Kipanga, bungeni jijini Dodoma, Aprili 23, 2024.  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Mlalo, Rashid Shangazi, bungeni jijini Dodoma,  Aprili 23, 2024.  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Maswa Magharibi, Mashimba Ndaki, bungeni jijini Dodoma,  Aprili 23, 2024.  WaziriREAD MORE
  • TUMEVUKA LENGO LA ILANI KATIKA BARABARA.

    TUMEVUKA LENGO LA ILANI KATIKA BARABARA.0

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amewasili uwanja wa ndege wa Pemba na Kupokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Mhe.Mattar Zahor Masoud na viongozi mbalimbali wa Serikali, Chama cha Mapinduzi na Dini tarehe 23 Aprili 2024. Rais Dk.Mwinyi leo ataifungua Barabara ya maeneo huru ya kiuchumi Wilaya

    READ MORE
  • Rais Samia amezungumza na mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania nchi za nje. .

    Rais Samia amezungumza na mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania nchi za nje. .0

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania nchi za nje kwa njia ya mtandao (Video Call) walipokuwa kwenye mkutano unaojadili Mkakati wa Diplomasia ya Umma na Tathmini ya kiutendaji (Retreat) uliofanyika Kibaha mkoani Pwani tarehe 22 Aprili, 2024. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,READ MORE
Translate »