- Dini, Habari
- April 23, 2024
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi amewaomba wananchi kuendelea kushikamana, kuwa wamoja, kudumisha amani na utulivu ili kuzidi kupiga hatua ya maendeleo ya uchumi na ustawi wa jamii nchini. Rais Dk.Mwinyi amesema hayo alipojumuika na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika Dua ya kumuombea Mwanachuoni mkubwa Zanzibar Alhabyb
READ MORE- Uncategorized
- April 23, 2024
Muonekano wa jengo la Kitega Uchumi cha Jiji la Tanga lililopewa jina la Dkt. Samia Suluhu Hassan Business Cetre, eneo la Kange ambalo Waziri Mkuu, Kassim Majliwa aliweka jiwe la msingi la ujenzi wake. Baadhi ya Wananchi wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alipozungumza baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa Kitega Uchumi chaREAD MORE- Dini, Habari, Kitaifa
- April 23, 2024
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na viongozi mbalimbali wa dini mara baada ya kuhitimishwa kwa dua na maombi ya kuliombea taifa kuelekea miaka 60 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma leo Aprili 22, 2024.
READ MORE