• KINANA AWAFUNDA VIONGOZI WA UWT

    KINANA AWAFUNDA VIONGOZI WA UWT0

    Na Barnabas kisengi Dodoma Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahman Kinana amewataka viongozi wa chama hicho kusema mambo mazuri yanayofanywa na serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan katika maeneo yao.Kinana amesema hayo jijini Dodoma wakati akifungua Mfunzo ya siku mbili ya viongozi wa Umoja wa

    READ MORE
  • WATUMISHI WA e-GA WAHIMIZWA KUFANYA KAZI KWA KUZINGATIA MISINGI MIKUU SITA YA MAMLAKA

    WATUMISHI WA e-GA WAHIMIZWA KUFANYA KAZI KWA KUZINGATIA MISINGI MIKUU SITA YA MAMLAKA0

    Na Mwandishi Wetu Dar es salaam Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA), Mhandisi Benedict Ndomba, amewataka watumishi wa Mamlaka hiyo kufanya kazi kwa kuzingatia misingi mikuu sita ya Taasisi. Ndomba alisema hayo wakati wa kikao cha Watumishi wa Mamlaka kilichofanyika kwa muda wa siku tatu katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam

    READ MORE
  • TRA yawafikisha Mahakamani Wakurugenzi kwa Makosa ya kikodi

    TRA yawafikisha Mahakamani Wakurugenzi kwa Makosa ya kikodi0

    Na Barnabas Kisengi Dodoma Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Mkoa wa Dodoma limewafikisha mahakamani   Wakurugenzi Watatu wa Kampuni ya Corsyne Consult Limited kwa makosa matatu ya kikodi ikiwemo kutengeneza risiti bandia za kielektroniki na kuisababishia serikali hasara ya sh.milioni 100.7. Akizungumza na wandishi wa habari  jijini Dodoma Ofisa Sheria wa TRA Mkoa wa Dodoma, Erasto

    READ MORE
Translate »