• TAARIFA KWA UMMA.

    TAARIFA KWA UMMA.0

    READ MORE
  • RAIS DK.MWINYI AHIMIZA KUENDELEA KUTENDA MEMA.

    RAIS DK.MWINYI AHIMIZA KUENDELEA KUTENDA MEMA.0

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi amewashukuru Masheikh na Waalimu kwa kazi kubwa ya kuendesha madarasa ya mawaidha katika Misikiti mbalimbali na Mihadhara kipindi cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Rais Dk. Mwinyi amewashukuru wafanyabiashara waliotikia wito wa Serikali wa kutopandisha bei za bidhaa ili kuwezesha wananchi kununua bidhaa

    READ MORE
  • WAZIRI MKUU ASHIRIKI SALA YA EID ELFITRI DODOMA.

    WAZIRI MKUU ASHIRIKI SALA YA EID ELFITRI DODOMA.0

    Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza  na waumini wa dini ya kiislamu kwenye Sala ya Eid Elfitri, katika Msikiti wa Gaddafi jijini Dodoma, Aprili 10.2024. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka waumini wa dini ya kiislam kuendelea kuyaishi yale waliyojifunza wakati Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Amesema kuwa lengo ni kuhakikisha jamii inaendelea kuwa bora na kulifanya Taifa kuwa lenye tulivu, amani na mshikamano “Popote Tanzania unapokwenda

    READ MORE
Translate »