• MATUKIO YA MHE. WAZIRI MKUU JIMBONI RUANGWA.

    MATUKIO YA MHE. WAZIRI MKUU JIMBONI RUANGWA.0

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na baadhi ya wazee kijijini kwake Nandagala, wilayani Ruangwa, Lindi tarehe 24 Machi, 2024. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwa katika kijiwe cha kahawa kijijini kwake Nandagala, wilayani Ruangwa, Lindi tarehe 24 Machi, 2024. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiangalia nguo katika moja ya duka lililopo kijijini kwake Nandagala, wilayani Ruangwa, Lindi tarehe 24 Machi, 2024. Kulia ni Mfanyabiashara Jamaldin Ahmad.  Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumzaREAD MORE
  • Waziri Mkuu Majaliwa amehutubia Mkutano Mkuu wa Chama cha Mawakili wa Serikali Tanzania.0

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akihutubia wakati wa ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Chama cha Mawakili wa Serikali wa Tanzania Mkutano ulifanyika katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre Jijini Dodoma tarehe 21 Machi, 2024. Kaulimbiu  ya mkutano huo ni “Upatikanaji wa Huduma za Kisheria kwa Wananchi ni Nguzo Muhimu kwa Ustawi wa Jamii,” Waziri MkuuREAD MORE
  • Rais Dkt.Mwinyi amepokea salamu za Pole kutoka kwa WASAFI.

    Rais Dkt.Mwinyi amepokea salamu za Pole kutoka kwa WASAFI.0

    RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amepokea salama za pole kutoka kwa kampuni ya WASAFI inayoongozwa na Mkurugenzi mkuu, Nasib Abdul (Dimond Platinum) Dk. Mwinyi alipokea Salamu hizo Ikulu, Zanzibar alipozungumza na kiongozi huyo na ujumbe aliofuatana nao. Rais Dk. Mwinyi aliushukuru uongozi wa Wasafi uliofika kwa lengo la

    READ MORE
Translate »