Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameipongeza benki ya NMB kwa kuiunga mkono Serikali kwa kuisaidia jamii ikiwemo watoto wanaoishi katika mazingira magumu. “Kwa kufanya hivi mnapata thawabu kwa kuyagusa maisha ya jamii yenye uhitaji na kuwafanya wajione wenye thamani sawa na wengine. Ninatambua kuwa licha ya kuwakumbuka Watoto wenye uhitaji, mmekuwa mkichangia mahitaji muhimu kwenye shule
READ MOREWAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ameitaka Wizara ya Uchukuzi kusimamia ipasavyo Shirika la Ndege Tanzania ili kuhakikisha uwekezaji mkubwa uliofanywa unaleta matokeo chanya na kuwa kichocheo cha ukuaji wa sekta nyingine mtambuka na uchumi kwa ujumla wake. Amesema kuwa ongezeko la ndege na huduma za usafiri inasaidia kuongeza fursa za biashara kati ya Tanzania na mataifa
READ MORE- ELIMU, Habari, Kitaifa
- March 25, 2024
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Sekta ya elimu ni wakala wa mabadiliko katika jamii kiuchumi, kiteknolojia na kiutamaduni katika kuleta maendeleo ya nchi. Amesema kuwa utoaji wa elimu bora kwa Watanzania ni moja ya vipaumbele vya nchi katika kuleta maendeleo. “Ili kufanikisha haya tunahitaji sekta hii kuwa bora, imara, inayokidhi mahitaji ya jamii kwa
READ MORE