RASMI CHAMA AREJEA SIMBA(+Video)
- Michezo na Burudani
- January 14, 2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhajj Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameeleza kwamba mbali ya ibada ya sala tano ni vyema misikiti ikafanya kazi ya kushughulikia matatizo ya jamii. Alhaj Dk. Mwinyi alitoa rai hiyo jana Ijumaa March 12, 2021 wakati akiufungua Msikiti Taqwaa ulioko Gombani ya kale Chake Chake, Mkoa wa
READ MOREKamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni Ramadhani Kingai amesema Polisi wanamshikilia Charles Majura (35) ambaye ni Fundi Simu, kwa kosa la kimtandao kwa kusambaza taarifa za uzushi kuwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli ni Mgonjwa. Kamanda Kingai amesema kumekuwa na tabia ya baadhi wa Watu pindi wanapotumiwa taarifa za uzushi nao wanasambaza bila kujua
READ MORENA SALEH RAMADHANI DODOMA, MACHI 13.2021. Imeelezwa kuwa kila Mwaka kati ya vijana 50,000 na 60,000 tu miongoni mwa vijana milioni moja wanaoingia kwenye soko la ajira kila mwaka ambao hubahatika kupata ajira kwenye sekta rasmi. Hayo yamebainishwa jijini Dodoma na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi inayojihusisha na masuala ya utafiti wa namna ya kupunguza umaskini Tanzania (
READ MORENa Barnabas Kisengi-Katavi March 13, 2021 Familia zimetakiwa kujenga mazoea ya kufanya mazoezi kwa pamoja ili kuweza kujenga afya za miili na kuepukana na magonjwa yasiyoambukiza na kuwafanya Watoto waweze kuelewa umuhimu wa kufanya mazoezi wangali wadogo.Rai hiyo imetolewa leo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima wakati
READ MORENa Mwandishi wetu Karatu. WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene ametoa siku 30 kwa Jeshi la Magereza kuhakikisha Gereza jipya la Mahabusu Karatu linakamilika na kuanza kuhifadhi Mahabusu. Amesema Mahabusu wa Wilaya ya Karatu waliohifadhiwa katika Gereza Kuu la Kisongo jijini Arusha wahamishiwe katika Gereza hilo ambalo ujenzi wake upo katika hatua
READ MOREKisomo maalum cha kumuombea Dua Mfanyakazi wa Kitengo cha Habari Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Marehemu Khamis Ali Khamis {Machenga}kilifanyika mara baada ya Ibada ya sala ya Laasiri jana Ijumaa 12, 2021 katika Msikiti wa Mtaa ilipo familia yake Mpendae kwa Binti Hamrana Mjini Zanzibar. Waumini wa Dini, familia, ndugu, marafiki,
READ MORE