RASMI CHAMA AREJEA SIMBA(+Video)
- Michezo
- January 14, 2022
14 Januari, 2021 TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI RAIS DKT. MAGUFULI AMETOA MWELEKEO MPYA WA KIUCHUMI NA KIUTAWALA-MAJALIWA WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Rais Dkt. John Pombe Magufuli ametoa mwelekeo mpya wa kiuchumi na kiutawala nchini ambao umesababisha Tanzania iingie kwenye kundi la nchi za uchumi wa kati miaka mitano kabla ya muda uliopangwa wa
READ MORESerikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inalazimika kuendelea kuwaheshimu Wasanii Nchini kutokana na mchango wao mkubwa wanaoendelea kuutoa kwa Jamii na Taifa kwa jumla katika suala zima la kufikisha Ujumbe, Elimu sambamba na burdani. Akizungumza na Uongozi wa Chama cha Wasanii wa Kizazi Kipya {ZFU} waliofika Afisini kwake Vuga kujitambulisha, Makamu wa Pili wa Rais wa
READ MOREMakamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mheshimiwa Hemed Suleiman Abdulla amewataka Wanachama wa CCM na Wananchi wa Wilaya ya Kusini Unguja kuendelea kuwa watulivu na wastahamilivu katika kipindi hichi kifupi kufuatia Jengo la Afisi yao ya Chama Wilaya kuungua Moto.Mheshimiwa Hemed Suleiman ametoa kauli hiyo wakati alipozuru eneo la tukio hapo Makunduchi kuona athari
READ MOREBarnabas Kisengi, Dodoma.Januari 14 ,2021 Katika kuhakikisha kila mtoto anapata elimu bora bila kujali hali aliyonayo,serikali imenunua vifaa wezeshi vyenye thamani ya zaidi ya Tsh.Bilioni 2.8 vitakavyonufaisha wanafunzi wenye mahitaji Maalum 18,488 kote nchini. Akizungumza leo Januari 14,2021 katika zoezi la uzinduzi wa vifaa hivyo wezeshi kwa wanafunzi wenye mahitaji maalum ,zoezi ambalo limefanyika Shule
READ MORENa Barnabas Kisengi, Mafia Januari 14, 2021 NAIBU Waziri wa Elimu ,Sayansi na Teknolojia Omary Juma Kipanga ameliagiza Jeshi la Polisi Wilaya ya Mafia Mkoani Pwani kumsaka na kumtia Mbaroni Bwana Dickson Paul mmiliki ambaye amefungua Zahanati bila kufuata Sheria na Taratibu zinazotakiwa. Kipanga ambaye pia ni mbunge wa Jimbo la Mafia ametoa agizo hilo
READ MORENa Barnabas Kisengi, Rufiji Januari 14 2021 WATUMISHI wawili wa Chuo chaVeta Pwani na kamati ya Manunuzi na ugavi yenye watu saba wamesimamishwa kazi mara baada ya kushindwa kusimamia vyema ujenzi wa Chuo cha Rufiji mkoani Pwani na kusababisha mradi kutokamilika kwa wakati. Uamuzi huo ulitolewa na Naibu Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Mhandisi Omary
READ MORE