• RAIS DKT. MAGUFULI ATOA MAAGIZO WATUMISHI WOTE KUMALIZAKUJAZA FOMU ZA MAADILI KABLA YA TAREHE 30,DISEMBA,2020.

    RAIS DKT. MAGUFULI ATOA MAAGIZO WATUMISHI WOTE KUMALIZAKUJAZA FOMU ZA MAADILI KABLA YA TAREHE 30,DISEMBA,2020.0

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli  leo Disemba 24,2020 amemwapisha  kamishna wa Maadili  Jaji Sivangilwa Mwangesi huku akitoa maagizo kwa watumishi wote kuhakikisha  wanakamilisha kujaza fomu za maadili ya utumishi wa umma kabla ya tarehe 30,Disemba ,2020. Akizungumza mara baada ya uapisho huo uliofanyika katika Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma Rais

    READ MORE
  • SALAMU ZA SIKUKU YA KRISMASI 2020 NA HERI YA MWAKA MPYA 20210

    Uongozi na wafanyakazi wa jfive tv online wanayofuraha kuwatakia heri ya Krismasi na Mwaka Mpya .Tunashukuru kuwa nasi siku zote bila kuacha endelea kuwa nasi kupata habari, matukio, elimu na burudani. Tembelea kurasa zetu za mitandao ya kijamii Youtube @jfivetv online Instagram @jfivetv_online Facebook @jfivetv online Tovuti; www.jfivetv.com Barua pepe; jfivetvonline@gmail.com

    READ MORE
  • “TEHAMA ITUMIKE KATIKA KUONGEZA KASI YA UKUAJI WA UCHUMI” MH.MAJALIWA

    “TEHAMA ITUMIKE KATIKA KUONGEZA KASI YA UKUAJI WA UCHUMI” MH.MAJALIWA0

    23 Desemba, 2020  TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI TEHAMA ITUMIKE KATIKA KUONGEZA KASI YA UKUAJI WA UCHUMI-MAJALIWA WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa wito kwa wananchi kutumia vizuri Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) kwenye shughuli za uzalishaji mali na utoaji huduma katika sekta mbalimbali ili kusaidia kuongeza kasi ya ukuaji wa uchumi na kupunguza umaskini

    READ MORE
  • HATIMAE WAKAZI WA KIFURU WAPATA MAJI RASMI LEO.

    HATIMAE WAKAZI WA KIFURU WAPATA MAJI RASMI LEO.0

    Kufuatia agizo la Rais Dkt. John Magufuli la kutaka Mamlaka ya Maji safi na Majitaka Dar es salaam (DAWASA) kufikisha huduma ya Maji safi kwa wakazi wa Jimbo la Ukonga na Segerea kabla ya Disemba 25 Mwaka huu, hatimae DAWASA wametekeleza agizo hilo. Mapema leo Waziri wa Maji Jumaa Aweso amejionea ukamilishaji wa Mradi wa

    READ MORE
  • “WAZIRI UMMY UMELITENDEA HAKI TAIFA UNASTAHIKI PONGEZI” MHE. HEMED MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR.

    “WAZIRI UMMY UMELITENDEA HAKI TAIFA UNASTAHIKI PONGEZI” MHE. HEMED MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR.0

      Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman amesema katika suala zima la kuendelea kukabiliana na Mabadiliko ya Tabia Nchini ipo haja kwa Wataalamu wa Sekta za Mazingira Nchini kuangalia kwa kina uvamizi wa Maji ya Bahari yanayoendelea kukiathiri Kijiji cha Sipwese kiliopo Mkoa Kusini Pemba. Mheshimiwa Hemed Suleiman amesema hayo wakati

    READ MORE
  • Rais Dk. Mwinyi amemsimamisha kazi Mkurugenzi Muendeshaji wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Sabra Issa Machano.

    Rais Dk. Mwinyi amemsimamisha kazi Mkurugenzi Muendeshaji wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Sabra Issa Machano.0

                                   STATE HOUSE ZANZIBAR                        OFFICE OF THE PRESS SECRETARY                                    PRESS RELEASE Zanzibar                                                                          Disemba 23, 2020 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amemsimamisha kazi Mkurugenzi Muendeshaji wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Sabra Issa Machano na watendaji wengine  kwa tuhuma za kuhusika na makosa mbali mbali katika

    READ MORE
Translate »