RASMI CHAMA AREJEA SIMBA(+Video)
- Michezo
- January 14, 2022
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA TAARIFA KWA UMMA UPATIKANAJI WA MAFUTA YA KUPIKIA NCHINI 11 Januari, 2021 – Dodoma Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Geoffrey Mwambe (Mb) anawahakikishia wananchi kuwa hali ya upatikanaji wa mafuta ya kula itatengemaa mara baada ya kuanza upakuaji wa mafuta ya kula yanayoingizwa kutoka
READ MORENAIBU Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Omary Juma Kipanga ametoa miezi mitatu kwa Mkurugenzi wa Chuo cha VETA nchini pankras Bujulu kuhakikisha ujenzi wa chuo cha veta wilayani Mafia kinakamilika kwa wakati. Kipanga ametoa matatizo hayo akiwa katika ziara ya Kikazi Wilayani mafia ambapo alitembelea na kukagua ujenzi wa chuo hicho pamoja na taasisi
READ MOREMakamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mh. Hemed Suleiman awaongoza Wananchi kwenye fash fash za mkesha wa maadhimisho ya sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar kutimia miaka 57 hapo uwanja wa maisara suleiman.
READ MOREMkuu wa Mkoa wa Shinyanga Bi, Zainab Telack ameagiza Maafisa Kilimo Mkoani Shinyanga kutoa elimu ya mfumo wa stakabadhi gharani kwa wakulima wa zao la choroko ili waache tabia ya kuuza mazao yakiwa bado kuepuka kuwanufaisha wanunuzi badala ya wakulima ambao wanatumia nguvu nyingi kuandaa mazao hayo. Mkuu wa Mkoa amesema hayo jana wakati wa
READ MOREMalawi imepata pigo kubwa baada ya mawaziri wake wawili kufariki dunia kutokana na Covid 19. Waziri wa habari wa Malawi, Gospel Kazako amethibitisha kuwa mawaziri hao ambao ni na Waziri wa uchukuzi Sidik Mia wamefariki ndani ya masaa mawili tofauti. Mwishoni mwa juma, rais wa nchi hiyo Lazarus Chakwera alitoa hotuba maalumu kwa njia ya
READ MORERAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali imelazimika kupunguza baadhi ya shamra shamra za maadhimisho ya kusherehekea miaka 57 ya Mapinduzi ya Zanzibar, ili kuokoa fedha na kuzielekeza katika matumizi mengine ya serikali,ikiwemo huduma za kijamii. Dk. Mwinyi amesema hayo katika kilele cha maadhimisho ya sherehe za
READ MORE