• Serikali iwekeze zaidi katika kutoa elimu juu ya namna ya kupambana na upungufu wa vitamini kwa njia nyepesi

    Serikali iwekeze zaidi katika kutoa elimu juu ya namna ya kupambana na upungufu wa vitamini kwa njia nyepesi0

    Na Barnabas kisengi Mpwapwa March  10  2021 Vitamin A ni vitamin muhimu sana kiafya. Hii ni vitamin ambayo husaidia katika ujenzi wa tishu laini (kwenye misuli, kani na viungo vya ndani), tishu ngumu za mifupa na tishu zinazounda viwambo vya njia zinazohifadhi belaghami (mucas). Aidha afisa Lishe asunta amesema  vitamin A husaidia retina ya jicho kuzalisha

    READ MORE
  • Hospitali za rufaa za mikoa kuanzisha matibabu ya ugonjwa sugu wa figo ifikapo 2025

    Hospitali za rufaa za mikoa kuanzisha matibabu ya ugonjwa sugu wa figo ifikapo 20250

    Na Barnabas kisengi March 10 2021 Serikali imelenga kuziwezesha Hospitali zote za Rufaa za Mikoa (26) nchini  ili kuweza kuanzisha huduma za matibabu ya  ugonjwa sugu wa figo ikiwemo usafishaji damu ifikapo mwaka 2025. Yamebainishwa hayo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima alipotembelea Kitengo cha usafishaji damu kwa

    READ MORE
  • DK. MWINYI: WAGONJWA WOTE WATIBIWE HAPA IKISHINDIKANA WAPELEKWE DAR ES SALAAM, SIO INDIA

    DK. MWINYI: WAGONJWA WOTE WATIBIWE HAPA IKISHINDIKANA WAPELEKWE DAR ES SALAAM, SIO INDIA0

                                                    STATE HOUSE ZANZIBAR                                       OFFICE OF THE PRESS SECRETARY                                                       PRESS RELEASE Zanzibar                                                                                                                Machi 10, 2021 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema wakati umefika kwa Wizara ya Afya, Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto kuondokana na utaratibu wa kupeleka wagonjwa nje ya nchi kwa matibabu,

    READ MORE
  • RAIS DK. MWINYI AKUTANA NA GAVANA WA MOMBASA ALI HASSAN JOHO

    RAIS DK. MWINYI AKUTANA NA GAVANA WA MOMBASA ALI HASSAN JOHO0

    STATE HOUSE ZANZIBAR OFFICE OF THE PRESS SECRETARY PRESS RELEASE   Zanzibar                                                                         10.03.2021 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amewakaribisha wafanyabiashara wa nchini Kenya kuja kuekeza na kufanyabiashara Zanzibar hasa ikizingatiwa kwamba pande mbili hizo zina historia katika sekta ya biashara. Rais Dk. Mwinyi aliyasema hayo leo Ikulu

    READ MORE
  • Waziri Mkuu aiagiza Wizara ya Kilimo kuanzisha minada ya chai nchini

    Waziri Mkuu aiagiza Wizara ya Kilimo kuanzisha minada ya chai nchini0

    TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amemuagiza Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Mhandisi Marwa Mwita Rubirya afuatilie na kuchukua hatua kwa baadhi ya viwanda vya chai vinavyonunua majani mabichi ya chai ambavyo vimekuwa vikichelewesha malipo ya wakulima ahakikishe vinawalipa kwa wakati. Pia, Waziri Mkuu ameiagiza Wizara ya Kilimo ianzishe minada ya kuuza zao

    READ MORE
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu yaandaa kongamano  kuandaa mitala ya Historia

    Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu yaandaa kongamano kuandaa mitala ya Historia0

    Na Mwandishi wetu- Dar es Salaam March 10, 2021 Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, wanaendelea kukamilisha Mitaala ya vitabu vya masomo ya historia ya Tanzania, ambavyo pamoja na mambo mengine, vitajumuisha mkusanyiko wa historia ya Ukombozi wa Bara la Afrika na kutoa ufahamu kwa

    READ MORE
Translate »