RASMI CHAMA AREJEA SIMBA(+Video)
- Michezo na Burudani
- January 14, 2022
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharib, Unguja limefanikiwa kuwakamata watu tisa kwa tuhuma za kutaka kusafirisha magendo. Akitoaa taarifa kwa waandishi wa habari kamanda wa Polisi Mkoa huo, Awadh Jum Haji ofisini kwake Mwembe Madema amesema watuhumiwa hao wamekamatwa Febuari, 7 saa 02:45 Usiku maeneo ya Shakani katika Ufukwe wa bahari Wilaya ya Magharib
READ MORESTATE HOUSE ZANZIBAR OFFICE OF THE PRESS SECRETARY PRESS RELEASE Zanzibar 09.02.2021 Rais Dk. Mwinyi aliyasema hayo leo wakati alipofanya mazungumzo na Waandishi wa Habari wa vyombo mbali mbali vya habari vya nje na ndani ya Zanzibar ikiwa ni siku mia moja katika uongozi wake wa Serikali ya Awamu ya Nane, hafla iliyofanyika Ikulu
READ MOREWachakataji wa dagaa wa mwalo wa Kimoyomoyo kijiji cha Ilamba wilayani Muleba mkoani Kagera wanakabiliwa na uhaba wa masoko ya zao hilo hali inayowasababisha dagaa kuharibika. Wachakataji hao wameiomba serikali kuwawezesha kupata elimu ya ujasiriamali, vifungashio na mashine za kukaushia dagaa. NA NYEMO MALECELA, KAGERA.
READ MOREKatibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa Itikadi na Uenezi Ndugu Humphrey Polepole akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa Tawi la UVCCM Chuo Kikuu cha Mzumbe ambao wametembelea Maonesho ya miaka 44 ya CCM katika Ofisi za Makao Makuu ya CCM, Dodoma. Leo Tarehe 9/02/2021.
READ MOREWANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI MGUMILE NA KAGERA KATA YA KAGERA MANISPAA YA KIGOMA UJIJI WANASHINDWA KUHUDHULIA MASOMO SHULENI IPASAVYO KUTOKANA NA KUKOSA NAULI YA KULIPIA KUVUSHWA KWENYE MTO LWICHE AMBAO HATA HIVYO UNATAJWA KUWA NA WANYAMA WAKALI KAMA MAMBA NA VIBOKO.
READ MORESerikali imesema kuwa tayari imeandaa kanuni mahususi zitakazotumika kwaajili ya usimamizi na udhibiti wa sekta ndogo ya fedha pamoja na kanuni za jumla kwaajili ya kutekeleza majukumu ya kisera ikiwa ni pamoja na kuhamasisha ,kusimamia na kuendeleza sekta hiyo. Sekta ndogo ya fedha ni miongoni mwa huduma muhimu katika uchumi wa nchi kwani sekta hiyo
READ MORE