RASMI CHAMA AREJEA SIMBA(+Video)
- Michezo na Burudani
- January 14, 2022
Na Barnabas kisengi Dodoma February 23 2021 Tanzania ni miongini mwa nchi mwanachama za umoja wa mataifa ambazo kila ifikapo March 8 kila mwaka huadhimisha siku ya wanawake duniani ambapo maadhimisho haya yalianza mwaka 1911 kufuatia wanawake wafanyakazi katika sekta ya viwanda nchini marekani waliokuwa wakipinga mazingira duni ya kazi na vitendo vya unyanyasaji katika ajira
READ MOREMakamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla amefika katika ukumbi wa Sheikh Idrissa AbdulWakil Kikwajuni kwa ajili ya kusaini kitabu cha Maombolezi kufufutia msiba wa aliekuwa Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa chama cha ACT Wazalendo Maalim Seif Sharifu Hamad. Makamu wa Pili wa Raisi amesaini kitabu
READ MORENa Barnabas kisengi Loliondo na simanjiroFebruary 23. 2021 Wizara ya Kilimo kwa kushirikiana na Shirika la Kilimo na Chakula la Umoja wa Mataifa (FAO) imefanikiwa kuwadhibiti makundi ya nzige yaliyovamia wilaya za Longido na Simanjiro kwa kuwaua kwa kutumia ndege maalum iliyonyunyizia kiuatilifu kwenye maeneo ya mapori walipovamia. Kauli hiyo ya serikali imetolewa leo February
READ MORESTATE HOUSE ZANZIBAR OFFICE OF THE PRESS SECRETARY PRESS RELEASE Zanzibar 23.02.2021 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesaini kitabu cha maombolezo ya kifo cha Marehemu Maalim Seif Sharif Hamad, aliyekuwa Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar. Tukio hilo limefanyika leo huko katika ukumbi wa Sheikh Idrissa
READ MORE2019: Simba 1-0 Al Ahly 2018: Simba 2-2 Masry 2010: Simba 2-1 Hodoud 2003: Simba 1-0 Zamalek 2003: Simba 0-0 Ismaily 2001: Simba 1-0 Ismaily 1996: Simba 3-1 Mokawloun 1985: Simba 2-1 Al Ahly 1974: Simba 1-0 Mehalla
READ MOREKocha wa Al Ahly ya Misri, Pitso Mosimane amesema amewafuatilia Simba na kubaini ni miongoni mwa timu bora Afrika kutokana na aina yao ya soka ambalo wanacheza.Mosimane anasema Simba wamenishangaza kushinda mechi ya ugenini dhidi ya As Vita tena Kinshasa mahala ambapo ni pagumu kwa timu pinzani kushinda. “Katika kuwafuatilia kwangu Simba, nimebaini wana wachezaji
READ MORE