RASMI CHAMA AREJEA SIMBA(+Video)
- Michezo
- January 14, 2022
WAZIRI wa Maji Jumaa Aweso ameridhishwa na utekelezaji wa mradi wa maji wa Mzakwe wenye thamani ya zaidi ya milioni 200 unaotarajiwa kupunguza adha ya maji kwa mkoa wa Dodoma huku akimuagiza Katibu Mkuu wa wizara hiyo kuhakikisha vinachimbwa visima vingine vikubwa viwili . Waziri Aweso ameyasema hayo leo Jijini Dodoma wakati akizungumza na waandishi
READ MOREAzam Football Club imemuuza mchezaji wake Alain Thierry Akono Akono kwenda klabu ya Negeri Sembilan ya Malaysia. Akono alijiunga na Azam FC mwanzoni mwa msimu huu akitokea klabu ya AS Fortuna ya Cameroon kwa mkataba wa miaka miwili. Akono anakuwa mchezaji wa tatu kuuzwa na Azam FC msimu huu. Alianza Novatus Dismas aliyetimkia Israel,
READ MORESerikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto inatarajia kuanzisha mfumo wa Tehama kufuatilia mnyororo mzima wa utoaji wa dawa kwenye vituo vya kutolea huduma za afya vya umma vyote nchini. Hayo yamesemwa leo na Dkt. Dorothy Gwajima, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto wakati wa kikao kazi cha
READ MOREWakurugenzi wa Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto wametakiwa kuanisha changamoto na mahitaji yote yanayohitajika ili kuakisi na kutekeleza ilani ya Chama cha Mapinduzi na kuwezesha kuleta maendeleo katika sekta ya afya nchini. Hayo yamesemwa na Waziri wa Wizara hiyo Dkt.Dorothy Gwajima wakati wa majumuisho ya kikao
READ MORE20 Desemba, 2020 TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI RAIS MAGUFULI ATUNUKIWA TUZO NA KANISA LA PHILADELPHIA GOSPEL ASSEMBLY *Ni ya baada ya kuridhishwa na uongozi wake uliotukuka UONGOZI wa kanisa la Philadelphia Gospel Assembly, kupitia Kamati Kuu na Halmashauri Kuu imemtunukia tuzo ya uongozi Rais Dkt. John Pombe Magufuli baada ya kuridhishwa na utendaji kazi wake,
READ MOREKikosi cha Timu ya Manispaa ya Kinondoni, KMC FC tayari kimewasili jijini Dodoma kikitokea Mbarali Mkoani Mbeya kuwakabili Mafande wa JKT Tanzania mchezo utakaopigwa Disemba 23 katika uwanja wa Jamuhuri Jijini hapa. KMC FC ambao ni wageni katika mchezo huo watakuwepo Jijini hapa kwa ajili ya kujiandaa na mchezo huo na hivyo kuhakikisha kwamba wanaodoka
READ MORE