RASMI CHAMA AREJEA SIMBA(+Video)
- Michezo na Burudani
- January 14, 2022
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mwita Waitara ameliagiza Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamzi wa Mazingira (NEMC) kufanya utafiti kuangalia namna ya kudhibiti kuongezeka kwa kina cha maji ya maziwa mkoani Singida. Ameliagiza Baraza hilo kufanya tathmini na kutoa suluhisho la kuongezeka kwa kina cha maji katika Ziwa
READ MORESerikali imesema kamwe haitakuwa kikwazo kwa wawekezaji katika kutoa vibali vya Tathmini ya Athari kwa mazingira katika kuwezesha uwekezaji na maendeleo ya viwanda. Kauli hii imetolewa hii leo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano ana Mazingira) Mhe. Ummy Mwalimu mara baada ya kufanya ziara ya kikazi katika Mkoa wa Pwani kwa
READ MOREHalmashauri zote nchi zimetakiwa kutenga asilimia 10 ya mapato ya ndani kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli za kuhifadhi na kusimamia mazingira katika maeneo yao. Agizo hilo limetolewa leo na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mwita Waitara kwa nyakati tofauti alipofanya ziara katika Halmashauri ya Wilaya ya Mji na
READ MORENa Barnabas kisengi Dodoma February 16 2021 Serikali ya Malawi imepongeza Tanzania kwa jitihada zake za kuwaletea maendeleo Wananchi wake ikiwa ni pamoja na Uratibu wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali ili kuhakikisha yanachangia katika maendeleo ya Taifa. Pongezi hizo zimetolewa jijini Dodoma na Waziri wa Jinsia, Maendeleo na Ustawi wa Jamii wa Malawi, Patricia Kaliati katika
READ MORERAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi leo amewaongoza wananchi katika mazishi ya Marehemu Dk. Mohamed Seif Khatib yaliyofanyika huko kijijini kwao Umbuji, Wilaya ya Kati, Mkoa wa Kusini Unguja. Viongozi mbali mbali wa vyama vya siasa,dini na Serikali pamoja na wananchi walihudhuria katika mazishi hayo ambapo mapema
READ MORENa Barnabas kisengi Dodoma February 16 2021 Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dkt.Faustine Ndugulile amefanya mazungumzo na katibu mkuu wa umoja Posta Afrika lengo ni namna ya kuendelea kuimarisha sekta ya Akizungumza leo Februari 16,2021 jijini Dodoma Dkt.Ndugulile amebainisha kuwa hiyo ni katika kuboresha sekta ya Mawasiliano na sura mpya ya utendaji wa shirika la posta Tanzania. Waziri wa
READ MORE