EURO MILIONI 9 KUTUMIKA KUTEKELEZA MRADI WA MATUMIZI BORA YA NISHATI
Na Moreen Rojas Dodoma. Euro milioni 9 kutumika kutekeleza matumizi bora ya nishati ambapo Euro milioni 8 kutoka jumuiya ya ulaya huku UNDP ambao ni washiriki katika utekelezaji wa mradi huu wakifadhili Euro milioni 1. Hayo yameelezwa na Emilian Nyanda afisa kutoka wizara ya nishati ambaye ni mratibu wa mradi wa utekelezaji wa matumizi bora