
- Habari, Kitaifa
- September 20, 2023
Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum kwa kushirikiana na Shirika la SOS Children’s Villages wamekubaliana kuendelea kuwekeza katika mikakati ya Malezi, Makuzi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto ili kuondokana na vitendo vya ukatili dhidi yao. Naibu Waziri wa Wizara hiyo Mhe. Mwanaidi Ali Khamis ameyasema hayo wakati akizungumza
READ MORE
- Biashara, Habari, Kitaifa
- September 20, 2023
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Septemba 20, 2023 amefungua Kongamano la Tano na Maonesho ya Nishati Tanzania na amesema kwamba Serikali imedhamiria kuwa mzalishaji mkubwa na nishati. “Tunaendelea na utafutaji wa gesi, tunataka tuwe wazalishaji wakubwa wa nishati, tuwe na umeme wa kutosha utakaopatikana kwa urahisi na nafuu na ziada tutauza nje ya nchi.“ Mheshimiwa
READ MORE
Shukrani kwa Ubalozi wa Tanzania, Kigali Rwanda. Tumepata mapokezi mazuri, ushiriki mkubwa katika maandalizi ya tukio la Hisani, maandalizi ya tukio la ukabidhi wa jezi kwa Rais Kagame, maandalizi ya kutembelea kumbukumbu za mauaji ya halaiki na leo chakula cha mchana hapa ubalozini kwetu. Tunatoa Shukrani za dhati kwa Ubalozi na Serikali yetu. Shukrani kwa
READ MORE