- Habari, Kitaifa
- April 25, 2024
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mheshimiwa Othman Masoud Othman, Leo Alhamis Aprili 25, 2024, ameshiriki akiwa Mgeni Rasmi katika Uzinduzi wa Jengo la Ghorofa Sita (6) la ‘SAMIA SULUHU HASSAN MBAGALA HOSPITAL’, lililopo Mbagala Rangi Tatu, Manispaa ya Temeke Mkoa wa Dar es Salaam. Jengo hilo ambalo ni miongoni mwa Miradi ya Tawala
READ MOREHabari kubwa za Magazeti ya leo tarehe 25/4/2024 Kurasa za Mbele na Nyuma.
READ MORE- Bungeni, Habari
- April 24, 2024
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Mchinga, Salma Kikwete, Bungeni jijini Dodoma, Aprili 24, 2024. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, Jenista Mhagama, Bungeni jijini Dodoma, Aprii 24, 2024.READ MORE