
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan imetoa zaidi ya shilingi bilioni mbili kwa ajili ya kugharamia miradi mbalimbali ya maendeleo katika kata ya Nanganga wilayani Ruangwa. Ameyasema hayo leo (Jumatatu, Julai 4, 2022) wakati akizungumza kwa nyakati tofauti na wananchi wa kata hiyo akiwa
READ MORE
- Habari, Kitaifa
- July 4, 2022
Na Mwandishi Wetu-Dar es Salaam Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Damas Ndumbaro amesema mwelekeo wa Serikali katika kukiendeleza Kiswahili unafanya Mahakama kutembea ‘kifua mbele’ kwa kuzingatia usemi wa “Thamini chako”. Dkt Ndumbaro amesema hayo Julai 4, 2022 Uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam wakati anapokea maandamano ambayo yanahusu Kiswahili na haki kuelekea Maadhimisho ya
READ MORE
- Habari, Michezo
- July 3, 2022
NA HERI SHABAN(ILALA)herishaban@gmail.com HALMASHAURI ya Jiji la Dar es Salaam wameunda kikosi cha wachezaji 120 kwa ajili ya Mashindano ya Umoja wa Shule za Msingi (UMITASHUMTA) Kanda ya Dar es Salaam. Wachezaji hao 120 Wameweka kambi yao ya siku kumi shule Kabby Academy iliyopo Ukonga Wilaya ya Ilala. Akizungumza katika kufunga mashindano ya ngazi ya
READ MORE