
NA DOTTO KWILASA, DODOMA. Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia Mamlaka yake ya hifadhi TANAPA imeshauriwa kuweka alama kwenye maeneo yote ya hifadhi za kihistoria katika Mkoa wa Dodoma ili kuunga mkono juhudi za RAIS Dkt SAMIA SULUH HASSAN za kutangaza vivutio vya utalii na kuweka kumbukumbu kwa vizazi vijavyo. Hatua hiyo imekuja kufuatia baadhi
READ MORE
Na Zuena Msuya, Dodoma Waziri wa Nishati Mhe. January Makamba amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Uganda nchini Tanzania pamoja na wawekezaji kutoka nchini humo kuhusu kuwekeza katika mradi wa njia ya kusafirisha umeme kutoka Lindi, Masasi, Tunduru na Songea. Mazungumzo hayo yamefanyika Machi 21, 2023 katika ofisi za Wizara ya Nishati mkoani Dodoma
READ MORE
Na Barnabas kisengi Dodoma Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ametoa wito kwa viongozi hususani wanawake kubeba ajenda ya kukabiliana na ukatili wa kijinsia na watoto kwenye vikao vyote kuanzia kwenye maeneo yao. Waziri Dkt. Gwajima ametoa wito huo alipokuwa akiwasilisha mada ya mapambano ya ukatili dhidi
READ MORE