Daktari aliingia hospitalini kwa haraka sana baada ya kuitwa kwa shughuli ya Upasuaji wa haraka na kuvaa nguo za kazi na kuelekea moja kwa moja kwenye chumba cha upasuaji.Wakati akielekea kwenye chumba cha upasuaji alimkuta Baba wa mtoto anazunguka huku na huku karibu na chumba hicho akimsubiria Daktari. Baada ya kumuona tu, Baba mtoto akapayuka: “
READ MOREMATHAYO SURA YA 27 NA 28.
READ MORENikaona mbwa ameongeza mwendo ghafla na kufanikiwa kuvuka….pumzi ikanishuka.Lakini kuna kitu tulikiona kimedondoka kabla mbwa hajaweza kuongeza mwendo….Nikamwomba dereva turudi nyuma kidogo..Nilipoona kitu mbwa alichodondosha…Nikajifunza somo kubwa sana..MBWA alidondosha *Mfupa wa nyama* …..Simple…..Ilifika mahali mbwa aliona bora aache mfupa apate speed aokoe maisha!!!!! *Hii ni akili kubwa sana* *_ACHA MFUPA_* KUNA MIFUPA TUMEING’ANG’ANIA 2020TUKIFANIKIWA KUWAJASIRI WA KUACHIA MIFUPA TULOING`ANG`ANIA
READ MORETai ni ndege pekee mwenye uwezo wa kuishi miaka 70. Lakini kabla ya kufika umri huo lazima afanye maamuzi magumu,yanayomuumiza na kumchukua muda mrefu. Akifikia umri wa miaka 40, makucha yake magumu na makali yanakosa uwezo wa kunyakua chakula, mdomo wake uliochongoka unapinda, mabawa yake yanakuwa mazito na kunata kwenye kifua chake hivyo kumfanya kuwa
READ MORE1. Usikimbie ovyo. 2. Usinyoe kiduku. 3. Usitembee kwa mguu muda mrefu labda mita mbili. 4. Usipande bodaboda, baiskeli au fuso hata kama ni lifti. 5. Usibebe malboro ni brief case tu. 6. Usile ovyo ovyo barabarani sana sana mahindi ya kuchoma au mihogo. 7. Usivae suti na ndala au yebo yebo au raba. Labda
READ MORE