• TANZANIA NA SOS WATASHIRIKIANA KATIKA MALEZI NA USTAWI WA MTOTO.

    TANZANIA NA SOS WATASHIRIKIANA KATIKA MALEZI NA USTAWI WA MTOTO.0

    Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum kwa kushirikiana na Shirika la SOS Children’s Villages wamekubaliana kuendelea kuwekeza katika mikakati ya Malezi, Makuzi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto ili kuondokana na vitendo vya ukatili dhidi yao. Naibu Waziri wa Wizara hiyo Mhe. Mwanaidi Ali Khamis ameyasema hayo wakati akizungumza

    READ MORE
  • TANZANIA ITAKUWA MZALISHAJI MKUBWA WA NISHATI.

    TANZANIA ITAKUWA MZALISHAJI MKUBWA WA NISHATI.0

    WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Septemba 20, 2023  amefungua Kongamano la Tano na Maonesho ya Nishati Tanzania na amesema kwamba Serikali imedhamiria kuwa mzalishaji mkubwa na nishati. “Tunaendelea na utafutaji wa gesi, tunataka tuwe wazalishaji wakubwa wa nishati, tuwe na umeme wa kutosha utakaopatikana kwa urahisi na nafuu na ziada tutauza nje ya nchi.“ Mheshimiwa

    READ MORE
  • Rais Mwinyi amewashukuru Madaktari 32 kutoka China.

    Rais Mwinyi amewashukuru Madaktari 32 kutoka China.0

    RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi ameishukuru Serikali ya China kwa ushirikiano wanaoendelea kuutoa kwa Tanzania ikiwemo Zanzibar kwenye masuala mbalimbali ya maendeleo. Dk. Mwinyi ametoa shukurani hizo Ikulu, Zanzibar alipowakabidhi vyeti na medali timu ya madaktari 32 kutoka China waliohudumu kwenye hospitali za Zanzibar kwa kipindi cha

    READ MORE
Translate »