
- Habari, Kimataifa
- June 30, 2022
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amewasili Nchini Burundi kwa ajili ya kushiriki Sherehe za miaka 60 ya Jamhuri ya Burundi zitakazofanyika kesho 01 Julai nchini humo. Rais Dk. Mwinyi akiwa ameambatana na Mkewe Mama Mariam Mwinyi,Mawaziri wa SMT na SMZ na Viongozi wa Taasisi mbalimbali,katika Uwanja wa
READ MORE
Tanzania imefanikiwa kupata Tuzo la kuwa na banda bora lenye ubunifu wakutangaza utalii katika maonesho ya 37 ya utalii ya Seoul International Travel Fair(SITF). Maonesho hayo yaliyofanyika katika jiji la Seoul nchini Korea Kusini kuanziatarehe 23 – 26 Juni 2022.“Tuzo hii ni ishara nzuri ya ushirikiano kati ya Ubalozi wa Tanzania nchini KoreaKusini, Bodi ya
READ MORE
Kampeni ya kitaifa ya kuhamasisha wananchi wote kuungana kupinga vitendo vya ukatili wa aina zote kwenye jamii ijulikanayo Shujaa wa Maendeleo na Ustawi wa Jamii Tanzania (SMAUJATA), imezinduliwa rasmi katika kuadhimisha siku ya Mtoto wa Afrika mkoani Dodoma. Akizindua Kampeni hiyo Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum mhe. Dkt. Dorothy Gwajima
READ MORE