Mhe. Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili Abuja nchini Nigeria Mei 28, 2023 kwa ajili ya kuhudhuria Sherehe ya kuapishwa Rais Mteule wa nchi hiyo, Mhe. Bola Tinubu.
Mhe. Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Waziri anayeshughulikia masuala ya Nyumba nchini Misri, Mhe. Hassem El Gazzar, mjumbe maalum kutoka kwa Rais wa Misri, Mhe. Abdel Fattah El Sisi, ambaye aliambatana na ujumbe wake Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 17 Mei 2023. Mhe. Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenyeREAD MORE