
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman leo Septemba 21 amefunga Kongamano la Nishati lililofanyika Katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Julius Nyerere (JNICC), Jijini Dar es Salaam.
READ MORE
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk Hussein Ali Mwinyi akimaliza ziara yake nchini Cuba, amekutana na Makamu wa Rais wa Uganda Mhe. Jessica Alupo pamoja na ujumbe wa Wizara ya Kilimo ya Cuba ikiongozwa na Naibu wa Wizara huyo Mhe. Bernado. Rais Dk Mwinyi katika mazungumzo hayo alimshawishi Makamu huyo
READ MORE
- Habari, Kimataifa
- July 28, 2023
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi ameitaka Afrika kwa pamoja kuanza safari ya kutekeleza mikakati iliyojadiliwa katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Rasilimali Watu na kuwa na mtazamo wa pamoja katika kuongeza kasi ya ukuaji wa uchumi wa bara hilo na kuongeza tija ya
READ MORE